Monday, September 27, 2010

Somba, somba, somba mwenga!!!

Uweza kujova hapa nde Kusongeya kumjini, Chijana ipitisa somba zivisi kuhuma kuliziwa la kunyaza. Anikumbwishi kweli enzi zila za nitemeye kunyanja. picha niyivusili http://ruvumapress.blogspot.com/

2 comments:

  1. Hapa ukitaka kutoa mawazo, lazima ubahatishe mahali pa kubofya. Duh

    ReplyDelete
  2. bwana chib inabidi ukoleze ngeli kwanza. Huu ni utajiri wa lugha tulizonazo. Big up Nangonyani

    ReplyDelete

SONGEA YETU NDIYO ASILI YA WANGONI

SONGEA YETU NDIYO ASILI YA WANGONI