Friday, April 5, 2013

NIKUMBWIKI SANA NYIMBO ZA LIZOMBI LELU..NA VEVE KUNA NYIMBO UZIMANYILIAU UKUMBWIKI??

 Nilipokuwa mwenyewe, mbona hamnisemi x2 Nikiondoka kidogo nyuma wanisengenya -nyuma mwanisengenya x2 Ena liwaya mwana wangu wee, ae liwaya ee --gabwelile, gabweli maserikali kwakapungu!!...we nyina wangu namuhagama yoyo kulaga chondi

....au labda viyimba natoa shkrani wee kwa baba na mama ee x2 ...-kunioza mkeee na leo nina mtoto x2 na leo nina mtoto na leo nina mtoto! ...haya mpaka lukela...

SONGEA YETU NDIYO ASILI YA WANGONI

SONGEA YETU NDIYO ASILI YA WANGONI